a
Mt 26:20
b
Za 41:10
Mark 14:17-18
17
a
Ilipofika jioni, Isa akaja pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.
18
b
Walipoketi mezani wakila, Isa akawaambia, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti, mmoja anayekula pamoja nami.”
Copyright information for
SwhKC